TASAC YATOA MAFUZO KWA WADAU WA SERIKALI JUU YA MABADILIKO YA KANUNI KATIKA KUDHIBITI VIVUKO VYA SERIKALI

Mkuu wa wilaya ya Musoma Dkt Khalfan Haule amefungua mafunzo hayo na kusema juu ya umuhimu wa kujua Mabadiliko hayo ni ili kutekeleza Majukumu ya usimamizi wa Sheria kwa Haki katika usalama wa Wananchi na Vyombo vya usafiri Majini.
Aidha, Afisa Mfawidhi TASAC Mkoa wa Mara na Simiyu Abed Mwanga amesema zamani vivuko hivyo vilikuwa chini ya sheria ya SUMATRA lakini kwasasa vitasimamiwa na TASAC kwa mujibu wa Sheria na TASAC itaendelea kutoa mafunzo hayo kwa wadau mbalimbali.
Post a Comment