MTU MMOJA AFARIKI, KAYA ZAIDI YA 150 ZAKOSA MAKAZI KILOSA
.jpeg)
Akithibitisha kuwepo kwa athari zilizosababishwa na mafuriko hayo, Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Shaka Hamdu Shaka, amesema tayari kumetengwa maeneo maalum kwa wahanga wa mafuriko hayo ambapo kwa upande wa Ludewa, Kamati ya Maafa imetenga Shule ya Mkondo B pamoja na Shule ya Msingi Gongwe kwa Kata ya Mvumi.
Amesema tayari utekelezaji umeenza kufanyika ikiwemo matibabu kwa waliopata majeraha huku akitoa rai kwa wananchi waishio pembezoni mwa mito kuishi kwa tahadhari.





Post a Comment