RC RUVUMA AKAGUA MRADI WA MAJI WA BILIONI 1.9 AWAAGIZA RUWASA KUWAINGIZIA MAJI WANANCHI NDANI
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas akimtishwa ndoo maji mama mmoja baada ya kukagua mradi wa maji katika kijiji cha Lipaya Kata ya Mpitimbi wilayani Songea ambao unetekelezwa gharama ya shilingi bilioni 1.9.
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas akizungumza na wananchi wa Lipaya wakati anakagua mradi wa maji katika kijiji hicho unaotekelezwa na Serikali kupitia RUWASA.
Post a Comment